FREE KCSE PAST PAPERS

KCSE PAST PAPERS

Kiswahili Maranda End Term 2 Form 2

102 KISWAHIILI Karatasi Mseto JULAI, 2019 MUDA: Saa2½

SHULE YA UPILI YA MARANDA

KIDATO CHA PILI- 2019 MWISHO WA MUHULA WA PILI

Maagizo

SEHEMU A: LUGHA
  1. MATUMIZI YA LUGHA (Alama 40)

 

a) Eleza sifa mbili bainifu za kitamkwa /a/ (alama 2)

b) Tenganisha silabi katika neno (alama 1)

c) Tambua aina za vitenzi katika sentensi ifuatayo: Mvulana aliyekuwa akiadhibiwa jana ni mkorofi sana

(alama 3)

d) (i) Eleza maana ya  shadda(alama 2)

(ii). Weka shadda katika neno mlima.                                                                      (alama 1)

e) Akifisha: (alama 4)

basi rafiki yangu akasema maimuna hivyo ndivyo tunavyoweza kufaulu katika maisha wewe waonaje

f) Tambua aina za maneno katika sentensi;

Mwalimu wetu amewasili leo                                                                                  (alama 2)